HIKI ndio kichAnga cha kiume kinachodaiwa kutupwa Chooni na msomi wa chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine[SUA]
Askali hao wakieleka kwenye gari na mwili wa marehemu huyo waliyemshika mkononi
MMOJA wa mashuhuda wa tukio hilo akiangua kilio kwa uchungu baada ya polisi kukiweka kiumbe hicho kwenye mfuko warambo na kutoweka nacho
Hili ndilo shimo ambalo kichanga hicho kilikutwa akikiwa tayari kimeshakufa
Post a Comment