Loading...

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU SUA ATUPA MTOTO MCHANGA CHOONI


Chanzo cha habari: dj-sek.blogspot.com
  HIKI ndio kichAnga cha kiume kinachodaiwa kutupwa Chooni na msomi wa chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine[SUA]
 Askali hao wakieleka kwenye gari na mwili wa marehemu huyo waliyemshika mkononi

 MMOJA wa mashuhuda wa tukio hilo akiangua kilio kwa uchungu baada ya polisi kukiweka kiumbe hicho kwenye mfuko warambo na kutoweka nacho
Hili ndilo shimo ambalo kichanga hicho kilikutwa akikiwa tayari kimeshakufa



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top