Loading...

Ajali zazidi kuitesa Tanzania

 
Lori lenye namba za usajili T 229 AVP jana lilipata ajali mpakani mwa mkoa wa Njombe na Ruvuma na kujeruhi dereva na msaidizi wake
Lori hilo lilikuwa limebeba shehena ya mbolea kwenda mkoani Ruvuma

Majeruhi akiwa amebanwa ndani ya gari
Moja kati ya wasamalia akijaribu kumtoa dereva aliyekandamizwa ndani ya gari bila mafanikio
Nguvu za binadamu zilishindwa kutoa msaada wa kuwanasua majeruhi


Gari hili lilijaribu kutoa msaada wa kuwanasua majeruhi halikufanikiwa



Mungu mkubwa ndipo lilipotokea gari lililobeba greda lilitokea na kutoa msaada



Kazi ikawa ni namna ya kulishusha greda, ikalazimu mbolea iliyobebwa na gari lililopata ajali itumike kama ngazi ya kulishusha greda


Mifuko ikapangwa tayari kwa greda kushuka


Greda likishushwa ili litoe msaada


Greda likivuta gari lililopata ajali na kufanikiwa kuwatoa majeruhi


Majeruhi msaidizi wa dereva

Majeruhi dereva wa gari
Eneo la ajali - kona iliyomshinda dereva

Michubuko katika barabara iliyotokana na ajali hiyo
 
 
 
 
 
 
 
 
Basi la Super Feo na Sumry yalitoa msaada mkubwa katika ajali hiyo
 




Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top