Loading...

HONGERENI TCRA KWA KUYABANA MASHIRIKA YA SIMU.

Hataimae Tanzania imewezekana Kupga cmu kwenda Mtandao wowote(Acros the Network)kwa Gharama ile ile, Jana Airtel baada ya kubana kwa Mda mrefu kwa Tariffs zao za ajabu kama Sent10 After the second Minutes ambayo ilikuwa porojo na wizi mtupu kwan walikuwa wanakata zaid ya hyo, baada ya kuwa wanafyeka sana salio kuanzia saa 12 jion hadi Saa 3;59 ucku kwan ndo mda watu weng wanakuwa majumban toka kazn, Baada kubana vifurush vyao vya Internet kwa Kufuta ile MB400/Tsh 2500/= kwa Mwezi hatimae jana nao wamekuja utamu na Tarrifs mpya iitwayo 'Airtel Yatosha' hata sisi maskin sasa tunaoweka voucher za Tsh 500/= kwa cku tutakuwa tunapewa Dk Kibao ambazo tutapga cmu kwenda mtandao wowote iwe Tgo, Zantel au Voda we Twanga tu, pia unapata Msg lundo na MB kibao utakazotumia cku nzima, Thanx Airtel Kwa kuja na options nying ya Vifurush(Dial *149*99) kuanzia siku hadi wiki just like Vodacom. Sasa watu watarudisha lain zao za Airtel kwani walizitupa na kuhamia Vodacom baada ya wao kujfanya Wajanja wanaoijua sana pesa na utapel uliokdhiri.

Kwa Sasa mitandao Yetu ya kibongo imebakiza kero chache kama hizi:-

1. Huu ujinga wa Mtu anapga simu tena anaharaka au dharura assume kavamiwa, ana mgonjwa, ajali moto n.k then anapga cmu haraku halafu anaanza kusikilizishwa Matangazo na Miziki kwanza ndipo cmu inakuja kuita badae ni ujinga, TCRA fanyien kazi hlo kwanza wanaumiza maskio yetu.

2. Msg za kijnga za mara kwa mara, mara Mfano usipuuze ujumbe huu, namba yako imechaguliwa, mara salio lako limekwisha kopa n.k na mbaya zaidi mtu unaweza ukawa umelala ucku wa manane unashtuka ghafla ujumbe umeingia ukidhan ni jambo la msing kumbe Watu wanatangaza biashara zao ni ujinga, na mbaya zaid promo zenyewe ni utapel mtupu.

3. TCRA pia mmefanya uzembe Kwa kuyaruhusu haya makampuni kuchezesha kamali(Bahati nasibu) Je mnajua hawa wanaibia kiasi gani watanzania? take an example Vodacom Mahela, mtu akiambia jiunge kwa Kutuma neno MAHELA ili ushnde, akikurupuka kutuma it cost Tsh 350/=/Msg, vodacom ana wateja lets assume Milion 20 wakikurupuka watu mil 10, Voda wanapata Mamilion mangap? Na hyo ni just 1 sms je akiendelea kutuma? Wanatakiwa wapgwe stop mara 1 wachague 1 kuwa makampuni ya kamali au mawasliano, kwanza wanaibia serikal mapato otherwise waandikshwe na waende TRA kulipia Hzo Kamali. Na kwa ujinga Tuna Shrka au Taasisi ya serikali yenye dhamani kuchezesha Bahati nasibu sasa hawa wanaingiaje hapa?

5. Kuna utapeli Vodacom wameunza almost 3weeks ago, Wamekuwa waki-activate VoiceBOX calls bila idhn ya mwenye cmu, mtu unaweza ukawa unapga cmu Mtu akawa hapatkan, cha ajabu cmu ukkata unapewa call summary na umekatwa na salio kama Tsh 45 na kuendelea kulingana na umechelewa kiasi gani kukata cmu, huu ni wizi mkubwa.

6. Kero na ugumu mwingne ni International Calls napo zpunguzwe kdogo

Help , Share this Post to your friends, elimisha watu waujue utapeli wa mitandao yetu.

By Nyerere Semeni(MD)
Mdau.



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top