Loading...

USHAHIDI WA PICHA PAP FRANCIS AKITAWAZWA RASMI,MUGABE AMEHUDHURIA

 Papa Francis 1 akiwahutubia waumini wa dini ya kikristo wakati wa sherehe ya kuapishwa kwake katika nafasi hiyo.Akivalishwa peteAkimbeba mtoto
  
Akifurahia jambo.

Papa akiwa katika gari aina ya Mercedes Benz G-Class SUV wakati akipita kwenye viunga vya Kanisa la Mtakatifu Petro mjini Roma.
Umati mkubwa wa watu waliohudhuria tukio hilo leo.
Rais wa Zimbabwe, Mzee Robert Mugabe pamoja na mkewe Grace nao walikuwepo
 
 
 
credit: http://sangafesto.blogspot.com



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top