Loading...

MRADI MKUBWA WA KILIMO CHA KISASA WA ZINDULIWA RUVUMA NA WAZIRI MKUU MH.MIZENGO KAYANZA PINDA

chanzo: songeahabari.blogspot.com

Funguo 53 za Matrekta ambayo Waziri Mkuu Mh.Mizengo Kanza Pinda alizikabidhi kwa watu walio nunua Tayari kwa kuanza kilimo

Waziri Mkuu akiwa juu ya Trekta ambalo lime nunuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Saidi Thabiti Mwambungu

Waziri mkuu akipanda Mti wa kivuli katika shamba la kahawa Lipokela songea vijijini


Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Pinda akiwa katika kitengo cha kuhifahi mahindi luhuwiko manspaa ya songea

Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akikagua Micheya kahawa katika shamba la wawekezaji Lipokela Songea Vijijini


Hiyo ni Miche ya kahawa ambayo ina tarajiwa kupandwa Ekari 500 zilizopo katika eneo hilo

Waziri Mkuu Mizengo Kanza Pinda akiendelea kukagua shamba la Miche ya Kahawa akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa Saidi Thabit Mwambungu

waziri mkuu akiangalia ngoma ya Ligambusa jinsi ilivyo kuwa ikitumbuiza katika kitengo cha hifadhi ya chakula Luhuwiko Songea

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa amemaliza kukagua Shama la Kahawa katika eneo la lipokel songea vijijini



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top