Waziri Ummy Mwalimu akisalimiana na Padri Lucius wa hospitali ya Peramiho
Mheshimiwa Ummy Mwalimu akizungumza na Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Peramiho, Dr Venance Mushi, alipotembelea hospitali hiyo asubuhi ya leo
Baadhi ya wanachama wa Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), wakiwa sehemu ya mapokezi, tayari kwa kupata huduma
Mheshimiwa Ummy Mwalimu akiwafariji wagonjwa hospitalini hapoCDT: JOHN KITIME






Post a Comment