Loading...

POLISI WAFANYA MAUAJI YA KINYAMA ASUBUHII SONGEA

Wananchi wa songea asubuhi ya leo walikuwa wanaandamana kushinikiza jeshi la polisi lichukue hatua kudhibiti mauaji yanayotokea kila siku mjini hapa. Katika maandamano hayo polisi walianza kuwashambulia wananchi kwa risasi za moto na mabomu ya machozi. mwandishi wa habari hizi amenusurika kupigwa risasi ambayo imempata mtu aliyekuwa jirani yake, ambaye amepoteza maisha hapo hapo. katika mashambulizi hayo mwandishi ameshuhudi watu wawili wamepigwa risasi na kufa hapo hapo. Mpaka na kwenda mtimboni bado risasi za moto zinarindima.


Mwandishi wa TBC akiwa anajihami na risasi za polisi


Mmoja kati ya waliouawa na polisi




Polisi wakifyatua risasi kwa raia


Dimbwi la damu





picha na habari zaidi zitawajia soon!



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US
Back To Top