Loading...

MBUNGE WA SONGEA MJINI AKABIDHI MAGARI MAWILI KWA WANANCHI WAKE

Na Nathan Mtega,Songea yetu Mbunge wa jimbo la songea mjini mkoani Ruvuma  Leuindas Gama amekabidhi magari mawili kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa jimbo ilo ambayo ni gari kwa ajili ya kubeba wagonjwa na moja likiwa kwa ajilki...

MAJIMAJI SELEBUKA YAWA GUMZO TENA MJINI SONGEA 2016

MAJIMAJI SELEBUKA YAWA GUMZO TENA MJINI SONGEA 2016 Maji maji Selebuka ni tamasha linaloandaliwa na kampuni binafsi iitwayo Tanzania Mwandi Co. Ltd ikishirikiana na shirika lisilokuwa la kiserikali liitwalo Songea-Mississippi (SO-MI). Shirika...

MBARONI KWA KUKUTWA AKIFANYA MAPENZI NA MBUZI SONGEA

Picha haihusiani na tukio JESHI la Polisi mkoani Ruvuma limemtia mbabroni Rajabu Mbunda(30) mkazi wa kijiji cha Mkumbi wilaya ya Mbinga kwa tuhuma za kukutwa akiwa ndani ya banda la Mbuzi huku akifanya mapenzi na Mbuzi jike. Akizungumza  Ofisini...

BABA AMBAKA NA KUMLAWITI MTOTO WAKE SONGEA

Na Gideon Mwakanosya –Songea Yetu  JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamsaka Mohamed Said Mkazi wa Mjimwema katika halmashauri ya manispaa ya Songea kwa tuhuma za kufanya mapenzi na mtoto wake wa kike ambaye anasoma darasa la sita katika shule...

MGOMO WA WAFANYABIASHARA SONGEA WADUMU KWA SAA 5

Na Nathan Mtega,Songea Wafanyabiashara wa maduka wa manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamelazimika kufunga maduka yao kwa zaidi ya masaa matano kwa ajili ya kuzungumza na uongozi wa manispaa na mkuu wa wilayaya Songea kuhusiana na omgezeko la tozo...

WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA HOSPITALI YA PERAMIHO SONGEA

Waziri Ummy Mwalimu akisalimiana na Padri Lucius wa hospitali ya Peramiho Mheshimiwa Ummy Mwalimu akizungumza na Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Peramiho, Dr Venance Mushi, alipotembelea hospitali hiyo asubuhi ya leo Baadhi ya wanachama wa Mfuko...

KADA WA CHADEMA AWASIFIA WABUNGE CCM

Na Gideon Mwakanosya- Songea Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edson Mbogolo, amewamwagia sifa wabunge watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa ndio wawakilishi wazuri na ni wakweli kwa wananchi...

WATOTO WATANO WALIOZALIWA KWA PAMOJA SONGEA WAFARIKI

Na Julius Konala,Songea        WATOTO  wote watano waliozaliwa juzi katika hospitali ya mkoa wa Ruvuma wamefariki usiku wa kuamkia jana . Watoto hao wote watano walizaliwa salama na Sophia Mgaya (28) mkazi...

Mkutano wa CHADEMA waruhusiwa Songea.

Habari tulizozipata hivi punde zinasema Baada ya Mkutano wa pamoja kati ya viongozi wa vyama vya siasa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu, hatimaye Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA kimeruhusiwa kufanya Mkutano wake...

Mwanamke ajifungua watoto watano Songea

MWANAMKE mmoja mkazi wa maeneo ya Ruhuwiko katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Sophia amejifungua watoto watano. Akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani hapa, Mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Songea, Dk....

Wakazi wa Manispaa ya Songea walalamikia uchafu uliokithiri

Hili ni moja ya Ghuba lililopo pembezoni ya Mjia wa Songea   Ghuba hili lipo mtaa wa mahenge ambalo pia limesahulika kuzolewa taka   Pichani hapo juu ni ghuba lililopo Mtaa wa Sovi barabara iendayo kituo kikuu cha Polisi...
Older Posts
© Copyright 2025 songeayetu.blogspot.com | Designed By JUNGUKUU.US